YESU NI JIBU

Alhamisi, 2 Juni 2016

SEMINA YA NENO LA MUNGU MKOANI DODOMA: ZIJUE NJIA AMBAZO MUNGU ANATUMIA KUKUFANIKISHA.


Semina hiyo inaendelea kwa wiki nzima mkoani dodoma unaweza pia kufuatilia semina hiyo kupitia linki hii,blog ya amaninafuraha ukifungua mkono wako wa kulia utaona sehemu imeandikwa mwalimu Mwakasege unaweza kutazama moja kwa moja wanapoanza kurusha matangazo kutoka Viwanja huko Dodoma

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni