Mchungaji Zakaria akifundisha juu ya Roho mtakatifu kanisani
waumini wakifuatilia kwa makini na kuandika juu ya somo la ujazo wa Roho Mtakatifu.
Mchungaji Lule akiwaombea waumini juu ya ujazo wa Roho Mtakatifu mara baada ya kufundisha somo la Ujazo wa Roho Mtakatifu na wengi walifunguliwa.
Waumini wakishiriki katika maombi na maombezi ya ujazo wa Roho Mtakatifu.
Waliofungwa na nguvu za giza wakifunguliwa katika mateso yao ambayo walifungwa.
Hakuna maoni :
Chapisha Maoni