YESU NI JIBU

Alhamisi, 14 Aprili 2016

TAMKO KALI LA ASKOFU GWAJIMA KWA MKUU WA MKOA WA ARUSHA.

  Tamko la  Askofu Gwajima kwa mkuu wa mkoa wa Arusha aliyekataza ibada za mikesha kwa madai kuwa wanapiga kelele.


Hata hivyo mkuu wa mkoa wa Arusha amekanusha kauli hiyo na kusema kuwa hakukataza waumini kuabudu 

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni