Apostle Dr Livingstone Banjagala akiongoza waumini katika maombi na maombezi huko Shenzen China
Waumini waanza kufunguliwa kwa jina la Yesu mara baada ya zoezi la maombi kuanza huku mtumishi wa Mungu apostle Banjagala akiwawekea mikono na kuwaombea.
Neema kubwa sana na wengi walifunguliwa apostle Banjagala akimwombea mwanamke kwa kumwekea mikono huku wengine wakizama katika maombi
unapo wadhuru wengine usinipite maombi waliyokuwa wakiomba waumini huko Shenzen China wakiongozwa na mtumishi wa Mungu Dr Banjagala
Waumini wakiombewa na kutabiliwa na apostle Dr Livistone Banjagala Shenzen China.
unaweza kuwasiliana nasi kwa 0682672828,
Hakuna maoni :
Chapisha Maoni