Mkutano huo watu wengi wamefunguliwa na kuwekwa huru mbali na mateso ya pepo wachafu. mkutano huo umeandaliwa na kanisa la Full Gospel Bible Fellowship Mkuranga chini ya mchungaji Elineus Mbalilaki.
Katika mkutano huo wa injili wahubiri mbalimbali watakuwepo kuhubiri neno la Mungu akiwepo mchungaji Steven Mapunda.
Hakuna maoni :
Chapisha Maoni