YESU NI JIBU

Ijumaa, 26 Februari 2016

FGBF MKURANGA IMEKUANDALIA MKUTANO WA INJILI UNAOENDELEA KATIKA VIWANJA VYA SOKO JIPYA MKURANGA

Mkutano huo watu wengi wamefunguliwa na kuwekwa huru mbali na mateso ya pepo wachafu.
mkutano huo umeandaliwa na kanisa la Full Gospel Bible Fellowship Mkuranga  chini ya mchungaji Elineus Mbalilaki.
Katika mkutano huo wa injili wahubiri mbalimbali watakuwepo kuhubiri neno la Mungu akiwepo mchungaji Steven Mapunda.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni