Vurugu kubwa zimeibuka katika ibada ya kanisa la Ebeneza la
Kipentekoste wakimshusha mchungaji kiongozi wa kanisa hilo Musa Mlezi
madhabahuni wakimtuhumu kuendesha kanisa hilo kinyume cha maadili na kuendekeza
vitendo vya udharirishaji wa wanawake. Chanzo ITV.
Hakuna maoni :
Chapisha Maoni