Mtumishi
wakweli wa Mungu hapaswi kuficha mafunuo yake,anapaswa kuyatangaza maana sio
bangi bali ni habari njema kwa watu wote,labda wanao ficha hawayaamini mafunuo
yao kuwa ni ya Mungu Yehova Bwana wangu,waweke wazi kama mimi hapa.
Ufunuo huu ni kama unaleta kichekesho,na kwa wale walio mwilini huenda wasinielewe kabisa,lakini ni ufunuo wenye maana kubwa sana kibibilia.
Ufunuo huu ni kama unaleta kichekesho,na kwa wale walio mwilini huenda wasinielewe kabisa,lakini ni ufunuo wenye maana kubwa sana kibibilia.
Nime anza operation nibebe
na mimi nikubebe,au tubebane ili tufike,kama watu hawawezi kubebana basi maana yake ni kwamba
mtasimama milele na hamtakuja kutembea ili mfike kule mtakako kwenda.
Tokea huu ufunuo uje kupitia mimi hapa,watu hufunguliwa pindi ninapo kuwa
nahubiri huku nimebebwa dede juu kwa juu,kanisa limeanza kuongezeka kwa kasi
kubwa,watu wanatoa shuhuda za ajabu sana.
Nashauri watumishi waumini na wa Tanzania wote muanze kubebana juu kwa
juu,na tuweke wazi mafunuo yetu maana sio bangi wala meno ya tembo.
Karibuni mezani Maana wa Tanzania
wengi huongozwa na hofu badala ya kweli iliyo mioyoni mwao.
Waumini wakiwa katika ibada
Hakuna maoni :
Chapisha Maoni