Hili ndilo kanisa la EAGT Utete ambao umesimashishwa kujengwa |
Mchungaji Kiongozi wa EAGT Utete Agnes Maliwanga kulia wakiwa na mzee mshauri wa kanisa hilo katikati na mwinjilisti wa kimataifa Mwinjilisti Andulile Bwule wakiwa wamesimama mbele ya kanisa hilo |
Mwijilisti Andulile akioneshwa na viongozi wa kanisa hilo jinsi hali inavyoonekana baada ya kusimamishwa ujenzi wa kanisa hilo
Hivi ndivyo ndani ya kanisa hilo inavyoonekana
Hakuna maoni :
Chapisha Maoni