YESU NI JIBU

Jumapili, 29 Julai 2012

Hili ndilo kanisa la EAGT Utete ambao umesimashishwa kujengwa

Mchungaji Kiongozi wa EAGT Utete Agnes Maliwanga kulia wakiwa na mzee mshauri wa kanisa hilo katikati na mwinjilisti wa kimataifa Mwinjilisti Andulile Bwule wakiwa wamesimama mbele ya kanisa hilo





Mwijilisti Andulile akioneshwa na viongozi wa kanisa hilo jinsi hali inavyoonekana baada ya kusimamishwa ujenzi wa kanisa hilo





Hivi ndivyo ndani ya kanisa hilo inavyoonekana

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni