Elimu ya ujasiriamali na ushauri ni vyema ikatolewe
kwa vijana na wajane ili kuweza kuwakwamua la tatizo la umaskini ambalo linawakabilisanjari
na kuwafundisha neno la Mungu.
Kauli hiyo ilitolewa na jijini Dar es saalam naaskofu
wa huduma ya Pentekoste Gospel Mission Askofu Barnabas Kimbe wakati wa uzindizi
wa taasisi ya Ruth's Faifh Organization ambapo alisema kuwa ni vyema elimu ya
ujasiria mali itolewe kwa vijana na wajane hasa itolewe kwa vitendo.
Aidha alisema kuwa katika nyumba ya Mungu kuna vipawa
mbalombali na inastahili kutumiwa kwa lengo la kuujenga mwili wa kristona kuu
shauri pia ili kuweza kuondokan na wimbi la umaskini ambalo linawakabili watu
wengi kwa sasa.
Huduma hii ya RFO ni vyema zaidi ikaenea nchi nzima
ili kuwakwamua vijana na wajane na wimbi la umaskini kwa kutoa elimu ya
ujasiriamali itakayowasaidia.
Naye mwenyekiti wa taasisi ya Ruth's Faith mwalimu
Claudia simba alisema kuwa lengo kubwa la kuanzishwa kwa taasisi hiyo ni
kuwasaidia ,kufundisha na kushauri vijana ambao wengi wao wamekosa washauri na
kubaki kujiongoza wenyewe katika ujana wao hususani vijana wa kiume na watoto
wa wachungaji.
Aidha Bi Simba alisema kuwa taasisi hiyo itakuwa
ikitoa ushauri katika maeneo ya
mahusiano katika uchumba na ndoa kwa wazazi hususani wachungaji ambao ndoa zao
zinalegalega na kutoa elimu kwa jamii hasa upande wa kukopa na kurejesha mikopo
hiyo.
Kutokana hayo taasisi hiyo ilibaini kuwa ndani ya
jamii kuna watu wengi wanaoweza kukopa na kushindwa kurudisha mikopo hiyo hivyo
elimu itatolewa ya ujasiriamali ,utunzaji wa fedha na juu ya biashara kwa
ujumlasambamba na kuwasaidia wajasiria mali hao kuwatafutia masoko ya bidhaa
zao ndani na nje ya nchi ili waweze kujiendeleza katika shughuli zao bila kuwa
na mashaka wapi watapeleka bidhaa zao wakisha tengeneza.
Hata hivyo itahusika kutoa ushauri kwa wake wa
viongozi wa dini kwa kuwafundisha ujasiriamali na kujitegemea kuwatia moyo
kufanya changizoili kuwawezesha kupata mitaji bila kubagua dini, dhehebu ,rangi
jinsia ,utaifa na kabila.
Pamoja na hayo taasisi hiyo itahusika na jamii ya watu
wenye ulemavu ,wajane ,yatima,watatoto wanoishi katika mazingira magumu kwa
kuwapa nyenzo zitakazowasidia katika maisha yao.Taasisi hiyo ilianzisha juni
mwaka 2011 ikiwa na maona hayo ya kusaidia jamii ila kutokana na kutokuwa na
wafadhili ilikwama mpaka kufikia wakati huu.
Maoni 1 :
Maisha yangu Maajabu yanashangaza ushuhuda, Jinsi nimepata kisanduku chenye nguvu sana ambacho sasa ni pesa yangu mara mbili kutoka mia hadi elfu ya pesa ndani ya masaa 24, na pia jinsi nimerudisha mpenzi wangu wa zamani, sababu kuu niliwasiliana na Dk Lomi kwa msaada mimi kumrudisha mpenzi wangu wa zamani, basi ananisaidia ni nguvu kubwa ya kumrudisha mpenzi wangu wa zamani, na ananipenda na ananithamini sasa, basi mimi na Dr Lomi tukawa marafiki, baada ya mazungumzo kadhaa namuuliza ikiwa kuna njia anaweza kuniganga ili nipate pesa, hapo ndipo aliponiambia juu ya sanduku hili la uchawi, akaniambia kuna aina na saizi tofauti ya sanduku, aliniambia aina zote za sanduku, ningeweza kumudu ndogo tu ya sanduku, baada ya maombi muhimu anayofanya kwenye sanduku, ananipeleka kupitia huduma ya kujifungua, aliniambia niweke pesa ndani, niliweka ndani ya sanduku 100 euro baada ya masaa 24 nikagundua ilikuwa elfu 10 euro ndani, na nimekuwa nikitumia sanduku kwa miezi 7 sasa, mimi na mchumba wangu tunaishi maisha bora, ikiwa unahitaji b ack mpenzi wako au pesa spell wasiliana na Dr Lomi kwa barua pepe: lomiultimatetemple@gmail.com au WhatsApp namba +2349034287285 unaweza pia kumwandikia kupitia Jina la Mtumiaji la Snapchat: drlomi20 atakusaidia nje, asante kwa kusoma,
Kwaheri Gerd Ulrich
Chapisha Maoni