Hapa mama Kiriri akishuhudia akishika kipasa sauti
waumini wakifuatilia maombi kutoka kwa mchungajki Katunzi ambaye hayupo pichani.
Maombi na maombezi ya mtu mmoja mmoja ndani ya kanisa la EAGT City Center yakiongozwa na mchungaji Katunzi.
Watu waliodondoka wakati wa maombi na kuletwa mbele kuombewa ili wafunguliwe.
Maombi na maombezi yakiendelea
Mchungaji Rachael Katunzi ambaye ni mke wa machungaji Katunzi akizungumza juu ya binti ambaye alikuwa akiteswa na nguvu za kichawi na sasa amefunguliwa
Hakuna maoni :
Chapisha Maoni