YESU NI JIBU

Ijumaa, 27 Mei 2016

MAKAMU WA RAIS SAMIA SULUHU HASSAN ANAONDOKA NCHINI KUMWAKILISHA RAIS MAGUFULI MKUTANONI PAPUA NEW GUINEA:

Makamu wa Rais Samia Suluhu Hassan anaondoka nchini leo kwenda Papua New Guinea ambako atamwakilisha Rais John Magufuli katika mkutano wa Wakuu wa nchi za Afrika,Caribbean na Pacific (ACP) ambao utafanyika kuanzia Mei 30 hadi Juni 01, mwaka huu.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni