YESU NI JIBU

Jumapili, 29 Desemba 2013

MAOMBI NA MAOMBEZI JUU YA WANAFUNZI,WAFANYAKAZI,WAFANYABIASHARA,WAJARIAMALI KWA LENGO LA UPONYAJI WA SHUGHULI ZAO ZA KILA SIKU

Hali halisi katika ukumbi wa PTA wakati wa maombi na maombezi kwa wanafunzi kuanzia shule ya awali hadi vyuo vikuu,maombezi hayo yamefanyika kwa lengo la kuwakomboa wanafunzi ambao wamefungwa kwa nguvu za giza,ushirikina ama uchawi. 
Hata hivyo vijana ama wanafunzi wengi walifunguliwa kutoka nguvu za giza kwani wanafunzi wengi huwa wamechukuliwa akili zao kwa njia ya kichawi alisema mchungaji Florian Katunzi,wakati wa maombezi hayo.
Pamoja na kuwaombea wanafunzi uponyaji wa elimu pia mchungaji aliwaombea uponyaji juu ya uponyaji wa wafanyakazi wafanyabiashara,wakulima na wajasiriamali.
Kiukweli shuhuda mbalimbali zimeweza kushuhudiwa ndani ya ukumbi wa PTA sambamba na waumini wengine kutuma ujumbe mfupi kwa njia ya simu pamoja na kupiga simu zao kuelezea kilichowatokea.
Hivi ndiyo ilivyokuwa katika ibada ya maombi na maombezi kwa wanafunzi kuanzia shule za awali hadi vyuo vikuu na pia kuna baadhi ya ndugu jamaa waliowawakilisha watoto wao na jamaa zao wanaosoma katika shule na vyuo mbalimbali.
Hivyo jionee matukio yote katika picha.
hapa mchungaji Katunzi amawasha moto ya maombi.




wanafunzi wakifuatilia kwa makini mafundisho ya mchungaji kabla ya kuanza kuombewa.

wanawaza jinsi watakapowekewa mikona na mtumishi wa MUNGU mch.Katunzi






Hapa tayari moto umeanza kuwashwa wa ROHO MTAKATIFU.




Wamepewa maagizo ya kuweka mikono juu ya kichwa kufungua akili zao.




Nyoosha mikono yako tayari kupokea kile ambacho Bwana anaach

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni