YESU NI JIBU

Jumapili, 12 Januari 2014

KUTANA NA MC MACHACHARI TENA MAKINI ZAIDI YA MAKINI NANI ENDELEA KUSOMA?


 Hapa tunamzungumzia mwanadada makini tena zaidi ya makini na si mwingine ni dada Ritha Chuwalo Mtangazaji wa WAPO Radio FM ambaye amebobea zaidi katika vipindi vya habari kam vile patapata ,yaliyotokea,yasemavo magazeti ambaye kwa jina lingine anafahamika kwa jina la Mwisraeli namba mbili katika kipindi cha Ijue Israeli.
Mbali na kuwa mtangazaji pia ni mshereheshaji (MC) makini na mbunifu katika sherehe mbalimbali kama vile Harusi,Sendoff,Kitchen party,Kipaimara, Matamasha pamoja na Dhifa mbalimbali za kitaifa na kimataifa.
Kwa sasa mwanadada huyu amefungua kampuni yake inayojihusisha na masuala hayo inayojulikana kwa jina la MC RITHA CHUWALO INTERTAINMENT tazama hapo chini ujionee mwenyewe.


kwa mawasiliano chukua namba zake kwenye busness kadi yake hapo juu na kwa picha za hapo chini utamuona akiwa katika matukio mbalimbali.





 Hapa chini akiwa studio za WAPO Radio FM akipiga kazi.


Hakuna maoni :

Chapisha Maoni