Huduma hiyo inayongozwa na kiongozi wake anayefahamika kwa jina la Lesego Daniel imekuwa ya namna yake jambo ambalo linaweza kuwa la kushangaza sana katika imani.
Ila yeye alikinukuu kitabu cha Yohana 14:12-14 ambayo inazungumzia pale YESU alivyosema kuwa yeye aniaminiye mimi na kazi nizifanyazo mimi yeye naye atazifanya naam na kubwa kuliko hizo atafanya kwa kuwa mimi naenda kwa BABA.
Sasa ndugu msomaji wangu hofu yangu ni hapa kulisha waumini nyasi je huo ndio unabii ama ni nini? ndiyo matendo ya kinabii au ndiyo matendo mkuu.
Hayo ndiyo yanayoendelea ndani ya huduma ya Rabboni center ministries ya huko Afrika ya kusini kazi kwako msomaji.
Mchungaji Lesego akitembea juu ya waumini wake
Zoezi la kuaanza kutapika ndiyo unaoendelea kwa sasa
unaweza kutembela facebook ya kanisa hilo la Rabboni center ministries uli uweze kufahamu zaidi kinachoendelea katika huduma hiyo kwa sasa mwenye macho haambiwi tazama.
Hakuna maoni :
Chapisha Maoni