Mwinjilisti Johanes Amriza kulia akihubiri katika kanisa la DCT huku mchungaji kiongozi wa kanisa hilo Ron Swai akitafsiri
Waumini wa kanisa la DCT wakisikiliza kwa makini
mafundisho ya mwinjilist Johanes Amriza alipotembelea kanisa hilo jumapili iliyopita
waumini waliofika mbele kupata maombi na maombezi katika ibada iliyokuwa ikiongozwa na mwinjilisti Amriza katika kanisa la DCT Tabata shule
Baadhi ya waumini wa DCT wakisikiliza neno la Mungu kwa makini wakati mwinjilisti Amriza akifundisha ambaye hayupo pichani.
Hakuna maoni :
Chapisha Maoni