YESU NI JIBU

Jumatano, 11 Aprili 2012

KANISA LA TANZANIA ASSEMBLIES OF GOD TABATA

 Kanisa la Tanzania Assemblies of God Tabata ambalo hufahamika kwa jina la Dar es saalam Calvary Tembple linaloongozwa na mchungaji R.Swai ambaye ndiye katibu mkuu wa TAG

waumini wa kanisa la DCP wakiwa ibaadani siku ya jumapili ya pasaka

Waumini wakimsifu Mungu na kumwabudu siku ya jumapili ya pasaka katika kanisa la Dar es saalam Calvary Temple

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni