YESU NI JIBU

Jumamosi, 16 Julai 2016

RAIS MAGUFULI AFANYA UTEUZI WA VIONGOZI NA WATENDAJI WA TAASISI ZA SERIKALI NA AWAPANDISHA VYEO MAAFISA WA POLISI



Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli kwa mamlaka aliyopewa amefanya uteuzi wa viongozi na watendaji wa taasisi mbalimbali za Serikali, na pia amewapandisha vyeo maafisa wa Jeshi la Polisi Tanzania.
Uteuzi huo ni kama ifuatavyo;

1.   Mhe. Augustino Lyatonga Mrema.
·        Ameteuliwa kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Taifa ya Parole kwa kipindi cha miaka mitatu, kuanzia leo tarehe 16 Julai, 2016.

·        Mhe. Augustino Lyatonga Mrema anachukua nafasi iliyoachwa wazi na Jaji Mstaafu Mhe. Eusebia Nicholaus Munuo ambaye muda wake umemalizika.

2.   Prof. William R. Mahalu
·        Ameteuliwa kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete. Uteuzi huu umeanza leo tarehe 16 Julai, 2016.

3.   Prof. Mohamed Janabi
·        Ameteuliwa kuwa Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete. Uteuzi huu umeanza tarehe 15 Julai, 2016.

4.   Prof. Angelo Mtitu Mapunda
·        Ameteuliwa kuwa Kamishna wa Tume ya Utumishi wa Mahakama kwa kipindi cha miaka mitatu. Uteuzi huu umeanza tarehe 15 Julai, 2016.

5.   Bi. Sengiro Mulebya
·        Ameteuliwa kuwa Kamishna wa Tume ya Utumishi wa Mahakama kwa kipindi cha miaka mitatu. Uteuzi huu umeanza tarehe 15 Julai, 2016.

6.   Bw. Oliva Joseph Mhaiki
·        Ameteuliwa kuwa Mwenyekiti wa Tume ya Utumishi wa Walimu (TSC). Uteuzi huu umeanza tarehe 15 Julai, 2016.

7.   Mwl. Winifrida Gaspar Rutaindurwa
·        Ameteuliwa kuwa Katibu wa Tume ya Utumishi wa Walimu (TSC). Uteuzi huu umeanza tarehe 15 Julai, 2016.

8.   Dkt. Charles Rukiko Majinge
·        Ameteuliwa kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya wadhamini ya Hospitali ya Taifa Muhimbili. Uteuzi huu umeanza leo tarehe 16 Julai, 2016.

9.   Dkt. Julius David Mwaiselage
·        Ameteuliwa kuwa Mkurugenzi Mtendaji wa Hospitali ya Taasisi ya Saratani ya Ocean Road. Uteuzi huu umeanza tarehe 15 Julai, 2016.


Kupandishwa Vyeo

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli amewapandisha vyeo maafisa 25 wa Jeshi la Polisi kutoka cheo cha Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi (SACP) na kuwa Naibu Kamishna wa Polisi (DCP).

Waliopandishwa vyeo hivyo ni kama ifuatavyo;

1.      Essaka Ndege Mugasa
2.      Adamson Afwilile Mponi
3.      Charles Ndalahwa Julius Kenyela
4.      Richard Malika Revocatus
5.      Geofrey Yesaya Kamwela
6.      Lucas John Mkondya
7.      John Mondoka Gudaba
8.      Matanga Renatus Mbushi
9.      Frasser Rweyemamu Kashai
10.  Ferdinand Elias Mtui
11.  Germanus Yotham Muhume
12.  Fulgence Clemence Ngonyani
13.  Modestus Gasper Lyimo
14.  Mboje John Shadrack Kanga
15.  Gabriel G.A. Njau
16.  Ahmed Zahor Msangi
17.  Anthony Jonas Rutashubulugukwa
18.  Dhahir Athuman Kidavashari
19.  Ndalo Nicholus Shihango
20.  Shaaban Mrai Hiki
21.  Simon Thomas Chillery
22.  Leonard Lwabuzara Paul
23.  Ahmada Abdalla Khamis
24.  Aziz Juma Mohamed
25.  Juma Yussuf Ally

Aidha, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli amewapandisha vyeo maafisa wa Jeshi la Polisi wengine 34 kutoka cheo cha Kamishna Msaidizi wa Polisi (ACP) na kuwa Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi (SACP).


Waliopandishwa vyeo hivyo ni kama ifuatavyo;

1.      Fortunatus Media Musilimu
2.      Goyayi Mabula Goyayi
3.      Gabriel Joseph Mukungu
4.      Ally Omary Ally
5.      Edward Selestine Bukombe
6.      Sifael Anase Mkonyi
7.      Naftari J. Mantamba
8.      Onesmo Manase Lyanga
9.      Paul Tresphory Kasabago
10.  Dadid Mshahara Hiza
11.  Robert Mayala
12.  Lazaro Benedict Mambosasa
13.  Camilius M. Wambura
14.  Mihayo Kagoro Msikhela
15.  Ramadhani Athumani Mungi
16.  Henry Mwaibambe Sikoki
17.  Renata Michael Mzinga
18.  Suzan Salome Kaganda
19.  Neema M. Mwanga
20.  Mponjoli Lotson
21.  Benedict Michael Wakulyamba
22.  Wilbroad William Mtafungwa
23.  Gemini Sebastian Mushi
24.  Peter Charles Kakamba
25.  Ramadhan Ng'anzi Hassan
26.  Christopher Cyprian Fuime
27.  Charles Philip Ulaya
28.  Gilles Bilabaye Muroto
29.  Mwamini Marco Lwantale
30.  Allute Yusufu Makita
31.  Kheriyangu Mgeni Khamis
32.  Nassor Ali Mohammed
33.  Salehe Mohamed Salehe
34.  Mohamed Sheikhan Mohamed

Maafisa hawa wa Jeshi la Polisi Tanzania wamepandishwa vyeo kuanzia tarehe 15 Julai, 2016.
Gerson Msigwa
Kaimu Mkurugenzi wa Mawasiliano, IKULU
Dar es salaam
16 Julai, 2016

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni