Mwanasiasa
mkongwe na mwenyekiti wa chama cha Democratic Party DP mchungaji Christopher
Mtikila amefariki dunia kwenye ajali ya gari iliyotokea katika kijiji cha Msolwa Chalinze
mkoani pwani
Akithibitisha
kutokea kwa ajali hiyo kamanda wa polisi mkoa wa Pwani kamandaJaffar Mohamed
amethibitisha kutokea kwa ajali hiyo,ambapo amesema mchungaji Mtikila alikuwa
akitokea mkoani Morogoro kwenda Dar es salaam akiwa na watu wengine watatu
ambao wamejeruhiwa kwenye ajali hiyo.
Ameongeza
kuwa chanzo cha ajali hakijafahamika inaendelea kuchunguzwa.
Hakuna maoni :
Chapisha Maoni