Mara bada ya matokeo kutangazo baadhi ya watumishi
wmekuwa na kauli mbalimbali kwenye mitandao ya kijamii na
hapa tunakiutana na mtumishi Peter LUkuta ambaye
amesema haya
SASA NIMETAMBUA KUMBE WATUMISHI WENGI
WANAONGOZWA NA MIZIMU
Najaribu kuvuta picha kama ndiyo mimi niliyetabiri kuwa
fulani ndiye atakuwa raisi dooh leo sijui ningeuficha wapi uso
wangu dah aibu gani hii
Najiuliza maswali sijui Jumapili wanaanza anzaje makanisani
mwao maana Biblia Yangu inaniambia Mtu akitoa unabii na
usipotimia atakuwa Nabii wa uongo tena apigwe mawe na
mimi leo napiga nawe manabii wa uongo =KUMBUKUMBU
LA TORATI 18:20-22./
2WAKORINTHO 11:13-15.7
2 PETRO 2:1-3./
Hapa sina shaka tena juu wa watumishi ambao Wapo mwilini kupita hata Shetani mwenyewe hawa wamezidi kumbe
walitoa unabii sijui kwa akili zao wakamsingizia Mungu watu
hawa kama hawaogopi kumsingizia Mungu bila shaka hata
kuzini hawataogopa Duh napata shida juu ya sadaka
zinazotolewa kwenye madhabahu zao sijui zinaenda kwa
mungugani hii aibu ni kubwa kuzidi hata Ile ya Escrow
kumbe ndiyo sababu hata waumini wao kila ninapo kutana
nao huwa nakuta roho zingine za tofauti nashukuru sana
Mungu mimi sikutabiri pamoja na wengi kunifwata inbox
kutoka nitoe unabii juu ya Rasi anaye lakini sikufanya hivyo
maana ningekuwa nimetabiri kwa kutumwa na watu kama
walivyofanya hao wengine na sio Mungu wa kweli
Acha nisiseme sana sije wakajitoa fb nikashindwa kuwaponya
Hakuna maoni :
Chapisha Maoni