Hatimaye leo ni leo ambayo ni kilee cha wiki 13 za urejesho katika kanisa la EAGT City Center mara baada ya maelfu ya waumini kumiminika za idi ya kufurika katika ukumbi wa PTA uliopo katika viwanja vya Mwalimu Julias Kambarage Nyerere jijini DSM
Akielezea juu ya wiki 21 za urejesho na ukombozi ambapo zitahitimika tarehe 29 decemba 2013 na ratiba za ibada hizo asubuhi muda wa saa kumi na mbili na nusu
Awali ya alisimama mwalimu Emilian Busara ambaye alifundisha juu ya somo la ujasiria mali na watu wengi walimsikiliza mwalimu kwa makini na kufahamu mambo mengi.Watu wengi wameanza kufunguliwa mara baada ya ibada ya kwanza kuanza na watu wengi wamefurahia sana kufunguliwa katika matatizo yao mbalimbali mara baada ya kuingia katika ukumbi wa PTA
Hapa mtumishi wa Mungu mchungaji Floriance Katunzi akisisitiza katika ibada ya kusifu na kuabudu
Huyu ni mwimbaji wa nyimbo za injili ni kiongozi wa kanisa la EAGT City center akihudumu katika madhabahuni ambapoa liimba wimba wa kuabudu
Huyu ni mwimbaji wa nyimbo za injili anayejulikana kwa jina la Neema Gaspa ambaye anatamba kwa kibao kinachofahamika kwa jina la Ni Shujaa.Mwimbaji huyu pia anategemea kuzindua albamu yake katika ukumbi wa Blue Peal Ubungo Plaza tarehe 1septemba mwaka huu ambapo wakali mbalimbali wa nyimbo za injili watamsindikiza katika uzinduzi huo.
Neema akihojiwa katika studio namba mbili ya WAPO Radio wakati ikirusha matangazo moja kwa moja kutoka katika kanisa la EACT City center viwanja vya sabasaba ukumbi wa PTA.
Hapa akiwajibika madhabahuni huku waumini mbalimbali wakimuunga mkono katika ukumbi huo.
Neema akishirikiana na wacheza shoo wake katika madhabahu ya EAGT
Hapa sasa kazi ipo wanavyowajibika madabahuni Neema na kundi lake
Mtangazaji wa WAPO RADIO FM Bi Angelina Lukindo kulia mwenye miwani akiimba na kusifu ndani ya ukumbi wa PTA uliopo ktk viwanja vya saba saba
Wanakwaya wa kwaya majestic singers wakiimba katika ibada
Charles naye ni mmoja wa wwaimbaji huduma ya EAGT CITY CENTER(EAGT)
Huyu ni mwimbaji Alex Anania ambaye naye ni mshirika wa kanisa la EAGT city center ambaya anawimbo wake unajina Tumevuka salama.
Hawa ni baadhi ya waumini ambao wamemiminika katika ukumbi wa PTA kukutana na Mungu katika ibada ya kuhitimisha wiki 13 za urejesho.
Huyu ni mama ambaye ni miongoni mwa waumini waliofurika katika ukumbi wa PTA wakimsifu na kumwabudu Mungu
Katika ibada hiyo ya kipekeee watoto hawakuwa nyuma katika kusifu na kushangilia pamoja na waumini wengine.
Hakuna maoni :
Chapisha Maoni