YESU NI JIBU

Jumatatu, 18 Machi 2013

SOMO LA UAMSHO LIMEANZA KUFUNDISHWA NA MCHUNGAJI MOSSES MAGEMBE

 

 MCHUNGAJI MAGEMBE AKIFUNDISHA SOMO LA UAMSHO KATIKA KANISA LA TANZANIA ASSEMBLIES OF GOD UKONGA MAJUMBA SITA.

 Somo la uamsho limeanza kufundishwa kwa lengo la kuwafundisha na kuleta uamsho ndani ya Taifa.

Akielezea maana ya uamsho mchungaji Mosses Magembe ambaye ni mchungaji kiongozi wa kanisa la Tanzania Assemblies of God Majumba sita amesema uamsho ni kuwa hai tena baada ya kufa ambalo limetokana na (neno la kiingereza revival)
maana ya pili ni kurudi kwenye  uzimaa baada ya kufa. Hapa mchungaji Magembe anazungumzia juu ya suala la kanisa kufa kiroho .Aidha alisema kuwa suala la uamsho limepotea ndani ya kanisa la uamsho ilionekana katika miaka 1975 na kuongeza kuwa uamsho umepotea katika Taifa la Tanzania kwa hiyo ni lazima kanisa lirudi katika viwango vya juu sana.Neno uamsho limekuwa likitumiwa kwa muda mrefu nna watumishi mbalimbali bila kujua hali halisi ya neno hilo.Uamsho unawainua watu/waumini upya kuamka kaniaka maisha ya kupoteza fahamu kiroho.












waumini wakifuatilia somo la uamsho kwa makini wakiwa kanisani




 http://www.wapofm.org/wp-content/uploads/2013/03/DSC098761.jpg

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni