Katika tamasha hilo wameshiriki waimbaji mbalimbali wakongwe ambao waliimba nyimbo ambazo waliziimba na zilivuma wakati wa zamani sana
Mgeni rasmi katika tamasha la wakongwe ndugu Patric Chokara,akizungumza katika tamasha hilo amesema ni vyema waimbaji wakongwe waenziwe maana kazi walizofanya ni njema.
Ndugu Emanuel akiwa na mke wake ambaye ndiye mratibu wa tamasha akizungumza katika tamasha la hilo wakongwe amesema kuwa amekutana na vikwazo mbalimbali wakati akitangaza tamasha hilo
Waimbaji wa kundi la New life bendi wawajibika jukwaani.
Abednogo akipapasa kinanda ktk tamasha la wakngwe
Mchungaji Amon Kilahiro akifurahia jambo na mwimbaji wa New Life Band ndugu Abednego katika ukumbi wa Diamond Jubilee
Waimbaji wakongwe wakifuatilia kwa makini tamasha la wakongwe.
Upendo Nkone akifurahia tamasha la wakongwe.
Linna Mwakyembe akimkabidhi pastor Safari cheti
Mwimbaji Mwalukasa akionesha cheti aliyopokea katika tamasha la wakongwe.
Kiongozi wa Messengers bend ndugu Noeli akionesha cheti kushoto mke wa waziri wa uchukuzi Linna Mwakyembe.
Mchungaji Amon na Upendo Kilahiro akiwa na picha ya pamoja na mtoto wao katika tamasha la wakongwe.
Waimbaji wakongwe wakiwa katika picha ya pamoja katika ukumbi wa Diamond Jubilee.
Mchungaji Olgenesi akiwepo kwenye jukwaa baada kupokea cheti.
Mkongwe wa nyimbo za injili mzee makasy wakihojiwa na mwandaaji wa kipindi cha televisheni cha Clouds.
Hakuna maoni :
Chapisha Maoni