YESU NI JIBU

Ijumaa, 14 Desemba 2012

MWIMBAJI WA NYIMBO ZA INJILI MAGIDA AKIZUNGUMZA JAMBO NA MHE.RAIS JAKAYA KIKWETE

Madiga Timotheo ni mmoja wa waimbaji wa nyimbo za injili wa hapa nchini Tanzania,amekuwa akishirikiana na jeshi la polisi katika kuhamasisha juu ya ulinzi shirikishi ambayo imekuwa ikisaidia sana kuwafichua wahalifu mbalimbali.
Amekuwa pia akihudumu kwenye makongamano mbalimbali ya injili katika sehemu mbalimbali hapa nchini Tanzania akitumika kueneza injili ya Yesu na pia amekuwa akishiriki shughuli mbalimbali za kiserikali.na pia unaweza kuwasiliana naye kwa shughuli mbalimbali kama mikutano ya injili semina tumia namba  0752187043 na 0714267875.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni