YESU NI JIBU

Jumatano, 26 Septemba 2012

MMOJA WA WAIMBAJI WA NYIMBO ZA INJILI AMBAYE AMEKUWA AKIMBA KATIKA MIKOA MBALIMBALI TANZANIA

Madida Timotheo ni miongoni mwa waimbaji wa nyimbo za injili ambaye amekuwa akishirikiana na wainjilisti mbalimbali kueneza neno la Mungu kwa njia ya uimbaji.

Hata hivyo mwimbaji Magida amewahi kuimba wimbo wa polisi jamii unahusu utii wa sheria bila shuruti kwa kushirikiana na baadhi ya waimbaji wa jeshi la polisi


Hapa ni jukwaani mwimbaji Magida akiwatumbuiza watu waliofika kusikiliza neno  la Mungu hawapo pichani









 Hapo anaonesha umahiri wake kwa kuimba huku akipiga magoti






hapa shughuli ilikuwa kubwa mtumishi wa Mungu akiimba kwa staili zote ili watu waweze kumfahamu kristo na kumkubali kama bwana na mwokozi wa maisha yao

 Kazi kweli kiasi kwamba watoto waliofika katika wamefurahisha na huduma ya mwiimbaji huyu kiasi kwamba wamekuwa wakimwangalia kwa makini sana katika viwanja vya Utete wilayani Rufiji mkoani Pwani



Mwenyewe utashuhudia watu walivyojitokeza na kukaa kando ya nyumba zao kuangalia na kufurahia huduma ya uimbaji ambayo Magida alikuwa akitoa










 Hivyo ndivyo mtumishi wa kristo alivyokuwa akiwajibika katika jukwaa kuhakikisha kuwa watu wanfikiwa na injili kwa njia ya uimbaji



 Mdida akishirikiana na mimbaji Pascal Kasian ambaye alishawahi kuwa mshindi wa bongo star search wakiimba pamoja na Sapula katika jukwaa moja katika mkutano wa injili.

























































Waimbaji wakisimama mbele ya kanisa kujitambulisha mmoja baada ya mwingi hapa yupo Enock Jonath na vijana wake wawili anaoshirikiana nao  akiwa  amevaa suti na shart njano ,mwenye microphone ni Pascal Kasian mwenye suruali nyeupe ni Sapula na mwenymiwani meusi na suti na Magida Timotheo,
hapo ilikuwa siku ya jumapili.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni