MMOJA WA WAIMBAJI WA NYIMBO ZA INJILI AMBAYE AMEKUWA AKIMBA KATIKA MIKOA MBALIMBALI TANZANIA
Madida Timotheo ni miongoni mwa waimbaji wa nyimbo za injili ambaye amekuwa akishirikiana na wainjilisti mbalimbali kueneza neno la Mungu kwa njia ya uimbaji.
Hata hivyo mwimbaji Magida amewahi kuimba wimbo wa polisi jamii unahusu utii wa sheria bila shuruti kwa kushirikiana na baadhi ya waimbaji wa jeshi la polisi
Hapa ni jukwaani mwimbaji Magida akiwatumbuiza watu waliofika kusikiliza neno la Mungu hawapo pichani |
Hapo anaonesha umahiri wake kwa kuimba huku akipiga magoti
hapa shughuli ilikuwa kubwa mtumishi wa Mungu akiimba kwa staili zote ili watu waweze kumfahamu kristo na kumkubali kama bwana na mwokozi wa maisha yao
Mwenyewe utashuhudia watu walivyojitokeza na kukaa kando ya nyumba zao kuangalia na kufurahia huduma ya uimbaji ambayo Magida alikuwa akitoa
Hivyo ndivyo mtumishi wa kristo alivyokuwa akiwajibika katika jukwaa kuhakikisha kuwa watu wanfikiwa na injili kwa njia ya uimbaji
Mdida akishirikiana na mimbaji Pascal Kasian ambaye alishawahi kuwa mshindi wa bongo star search wakiimba pamoja na Sapula katika jukwaa moja katika mkutano wa injili.
Waimbaji wakisimama mbele ya kanisa kujitambulisha mmoja baada ya mwingi hapa yupo Enock Jonath na vijana wake wawili anaoshirikiana nao akiwa amevaa suti na shart njano ,mwenye microphone ni Pascal Kasian mwenye suruali nyeupe ni Sapula na mwenymiwani meusi na suti na Magida Timotheo,
hapo ilikuwa siku ya jumapili.
hapo ilikuwa siku ya jumapili.
Hakuna maoni :
Chapisha Maoni