Fundi akijaribu kutafuta ufumbuzi wa umeme ambao umejitokeza wakati wa mahubiri ya neno la Mungu katika mkutano ulikuwa ukiendelea huko kwembe mbezi wilaya ya Kinondoni jijini Dar es salaam |
Mwinjilisti wa Kimataifa Andulile Bwile akiwa jukwaani akihubiri neno la Mungu katika viwanja vya CCM kwembe Mbezi jijini Dar es saalam
Hakuna maoni :
Chapisha Maoni