MWINJILISTI BWA KIMATAIFA ANDULILE BWILE ALIKUWA AKIHUBIRI NENO LA MUNGU KATIKA MKUTANO WA SIKU SABA KWEMBE
Ni vyema kutii sheria bila shuruti imekuwa ni mojawapo ya njia yav kuwafundisha wananchi kutojichukulia sheria mkononi.
Mwinjilisti Andulile amesema ni vyema wananchi weakatii sheria na kuacha uovu na kumrudia Mungu na hiyo itasaidia sana katika maendeleo ya taifa
Hapa mwinjilisti Andulile akifurahia jambo na wachungaji wenzake madhabahuni
Mwinjilisti Andulile akisoma neno la Mungu wakati akihubiri
Hapo ni maeneo ya kwembe ambapo Magida alikuwa mmoja wa waimbaji katika mkutano wa injili
umati wa watu wakisikiliza neno la Mungu kwa makini likihubiriwa na mwinjilisti Andulile wakiwa na shauku ya kutaka kufahamu kwa undani neno la Mungu
Hakuna maoni :
Chapisha Maoni