YESU NI JIBU

Jumatano, 26 Septemba 2012

MKUTANO MKUBWA ULIOFANYIKA KATIKA VIWANJA VYA KWEMBE JIJINI DAR ES SALAAM


MWINJILISTI BWA KIMATAIFA ANDULILE BWILE ALIKUWA AKIHUBIRI NENO LA MUNGU KATIKA MKUTANO WA SIKU SABA KWEMBE

Ni vyema kutii sheria bila shuruti imekuwa ni mojawapo ya njia yav kuwafundisha wananchi kutojichukulia sheria mkononi.
Mwinjilisti Andulile amesema ni vyema wananchi weakatii sheria na kuacha uovu na kumrudia Mungu na hiyo itasaidia sana katika maendeleo ya taifa 


Hapa mwinjilisti Andulile akifurahia jambo na wachungaji wenzake madhabahuni



Mwinjilisti Andulile akisoma neno la Mungu wakati akihubiri






Hapo ni maeneo ya kwembe ambapo Magida alikuwa mmoja wa waimbaji katika mkutano wa injili



Wacheza shoo wa kikundi cha Enock Jonath wakichekesha umati wa watu waliofika katika viwanja Kwembe kusikiliza neno la Mungu mara baada umeme kukatika wakati mkutano tayari umeanza




umati wa watu wakisikiliza neno la Mungu kwa makini likihubiriwa na mwinjilisti Andulile wakiwa na shauku ya kutaka kufahamu kwa undani neno la Mungu























Hakuna maoni :

Chapisha Maoni