Waumini wakimsifu Mungu kwa furaha.
charles akihudumu madhabahuni wakati wa kusifu
mmoja wa washirika wa kanisa la EAGT Center Center akimsifu Mungu pamoja na waumini wenzake.
Mchungaji Josephat Katunzi wa kanisa la EAGT City Center akishirikiana na mchungaji Michael Kulola wakishirikiana kuwaombea waumini ndani ya kanisa hilo.
wahudumu wakishirikiana kuwa beba watu walioanguka wakati wa maombi na maombezi
Hakuna maoni :
Chapisha Maoni