YESU NI JIBU

Ijumaa, 18 Julai 2014

MKUTANO WA INJILI UNAOENDELEA KIMARA TEMBO

Ukweli usiopingika YESU anaendelea kutenda miujija na maajabu kwa kuwatumia watumishi wake ambao wamekubali na kutii sanjari na kujinyenyekesha kwa MUNGU.
 Katika mkunao wa injili unaofanyika katika viwanja vya kanisa la EAGT kimata Temboni unaoongozwa na mchungaji kiongozi wa kanisa la EAGT City Center mchungaji Florian Katunzi umekuwa wa mafanikio makubwa ambapo watu wengi wenye matatizo mbalimbali wamefunguliwa na kupokea nguvu mpya.
Watu wailofika katika mkutano huo wemeelezea wengi walivyofunguliwa sana na nguvu za Mungu.


 Mchungaji Florian Katunzi akihubiri neno la MUNGU katika viwanja vya EAGT Kimara Temboni.



Zoezi la maombi na maombezi likiendelea akiongoza mchungaji Katunzi.



Baadhi ya waimbaji ambao wamefika katika mkutano wa injili huko kimara Temboni Mess Jacob Chengula na Rebecca Magaba


Hawa ni baadhi ya watu waliohudhuria katika mkutano na kupata maombi na maombezi kutoka kwa mtumishi wa Mungu mch.Florian Katunzi
unaweza kuwasiliana na mchungaji Florian Katunzi kwa namba 0718267171,0754367826 na 0784367826

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni